Posted on: February 8th, 2022
Baada ya kupokea fedha za ujenzi awamu ya kwanza shilingi milioni mia nne sabini kwa ajili ya ujenzi wa Sekondari ya Mfano Kata ya Likombe, Leo Februari 8,2022 Manispaa ya Mtwara-Mikindani tumelipa fi...
Posted on: February 8th, 2022
Ujenzi wa jengo la kujifungulia Katika Zahanati ya Ufukoni umekamilika huku jengo hilo likitarajia kuhudumia akina mama zaidi ya mia mbili arobaini kwa mwezi waishio Kata ya Ufukoni na meneo men...
Posted on: February 5th, 2022
Kufiatia agizo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan la kututaka kutenga maeneo rasmi kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga , Manispaa ...